Picha: Kinachoendelea Uwanja wa Kimataifa Jijini Mbeya Wakati Wapenzi wa UKAWA Wakimsubiri Lowassa Uwanjani Hapo

Mgombea  Urais  wa  UKAWA  Kupitia  CHADEMA  Leo  atakuwa  Jijini  Mbeya  kwa  ajili  ya  kutambulishwa  na  kusaka  wadhamini.

Hapa  kuna  picha  kadhaa  za  shamrashamra  za  wananchi  wakimsubiri  kwa  hamu  kubwa  uwanja  wa  ndege  wa  Songwe.

Endelea  Kuwa  nasi.


Share on Google Plus

    Blogger Comment