Lowassa, Magufuli na Wagombea Wengine wa Urais Warudisha Fomu za Urais NEC



Mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democrasia na maendeleo chadema ndugu EDWARD LOWASA akizungumza na wanahabari mapema leo mara baada ya kurejesha Form na kiuwa mgombea rasmi wa uUais 

Mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha ADC CHIEF YEMBA akiwa na yeye amerejesha form hapa tume ya taifa ya uchaguzi



Hashimu Rungwe mgombea urais wa tiketi ya chama cha umma CHAUMA akiwa anawasili kurejesha form kwa ajili ya kugombea Urais



Kutoka UPDP ni FAHMI DOVUTWA mwenyekiti akiwasili NEC


Share on Google Plus

    Blogger Comment